以下は曲の歌詞です Malikia 、アーティスト - Sauti Sol 翻訳付き
原文と翻訳
Sauti Sol
Wengi wao wamenyosha mikono
Wataka upokezi toka kwako
Na hata wenye magari ya kifahari
Najua kwako wewe hawatoshi
Usinilenge
Usinipelekepeleke huku na kule
Uje unipende
Uje hata nao mapacha unizalie
Njoo nikumiliki milele
Malikia tuoane
Wewe ni mi
Mimi ni wewe
Na milele tupendane
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
Mabepari wasio na mapenzi halali
Watazidi kukunoki hoi
Na hata wenye magari ya kifahari
Najua kwako wewe hawatoshi
Usinilenge
Usinipelekepeleke huku na kule
Uje unipende
Uje hata nao mapacha unizalie
Njoo nikumiliki milele
Malikia tuoane
Wewe ni mi
Mimi ni wewe
Na milele tupendane
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Usinifungie pazia
Malikia nakuita
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia, karibia
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje unizalie
Malikia nakuita we uje, uje
様々な言語の楽曲
あらゆる言語への高品質な翻訳
必要なテキストを数秒で見つけます